Skip to content Skip to sidebar Skip to footer

Widget HTML #1

(Download) "Mahubiri kupitia Wagalatia" by Paul C. Jong ~ eBook PDF Kindle ePub Free

Mahubiri kupitia Wagalatia

📘 Read Now     📥 Download


eBook details

  • Title: Mahubiri kupitia Wagalatia
  • Author : Paul C. Jong
  • Release Date : January 08, 2020
  • Genre: Christianity,Books,Religion & Spirituality,
  • Pages : * pages
  • Size : 1231 KB

Description

Mafundisho ya Toba Yanatosha Kukufanya Upate Ugonjwa wa Kiroho.

Ulimwenguni kote watu wanaogopa virusi kama vile vya SARS kwa kuwa wanaweza kufa kutokana na kuambukizwa na virusi hivyo visivyoonekana.

Vivyo hivyo, Wakristo wengi siku hizi ulimwenguni kote wanakufa kimwili na kiroho kutokana na kuathiriwa na mafundisho ya toba. Ni nani ambaye alifahamu jinsi mafundisho ya toba yalivyo potofu kiasi hicho?

Unafahamu ni nani aliyewafanya Wakristo kuangukia katika mkanganyo wa kiroho? Ni Wakristo wenye dhambi wenyewe ambao wanaendelea kutoa sala za toba kila siku ili waweze kuzisafisha dhambi zao binafsi huku wakidai kuwa wanamwamini Yesu Kristo kuwa ni Mwokozi wao.

Hivyo unapaswa kupokea ondoleo la dhambi zako kwa kuliamini Neno la injili ya maji na Roho ambalo kwa asili ndilo ambalo Mungu alitupatia. Haupaswi kuipoteza nafasi hii yenye baraka ya kuweza kuzaliwa tena upya. Sisi sote tunapaswa kukombolewa toka katika mkanganyo wa kiroho kwa kuuamini Ukweli wa injili ya maji na Roho. Tunapaswa kuiangalia nuru ya Ukweli ambayo ilikuja kupitia injili ya maji na Roho, na nuru hiyo ilikuja baada ya kuyatoroka mashimo ya mkanganyo wa kiroho.


PDF Books "Mahubiri kupitia Wagalatia" Online ePub Kindle